The winning entry has been announced in this pair.There were 4 entries submitted in this pair during the submission phase. The winning entry was determined based on finals round voting by peers.Competition in this pair is now closed. |
Hebu fikiria kwamba unakula chakula katika jiji mojawapo la Bara Ulaya, huku huijui kabisa lugha ya wenyeji wa eneo hilo. Mwandazi anaongea kiingereza kiduchu tu, lakini kwa bidii na jitihada zako zote ukafanikiwa kuagiza chakula kwenye menyu, chakula ambacho ulielekea kukitambua, kuweza kula na hata kukilipia.Sasa badala yake, hebu ipige darubini hii kwamba baada ya matanuzi yaliyotibuka, inatokea kwamba una njaa ya ajabu tena kwenye kijiji cha wenyeji wa Amazon. Wenyeji wa eneo hilo hawajui watakachokuandalia. Unaiga na kutoa sauti kama ya mtu anayetafuna kitu, kisha wanaghafilika na kudhania kwamba ni matamshi ya kishamba tu ya ulimi wako. Unapoinyanyua mikono yako juu ili kuonyesha ishara ya kujisalimisha, wanafikiria unataka kuanza kuandaa shambulizi. Ni vigumu sana kuwasiliana bila ya kuwa na muktadha unaolandana. Kwa mfano, maeneo yaliyo na minunurisho yanapaswa kuwachwa yalivyo kwa maelfu ya miaka; huku, ukizingatia kwamba Kiingereza kimekuwepo tu kwa miaka 1,000 iliyopita lakini sasa ndiyo lugha maarufu zaidi kwa wazungumzaji wake wa kisasa, mashirika yamejitahidi kuandaa tahadhari na kuziambatanisha na mabaki ya kinyuklia. Kamati zinazowajibikia suala hilo zimeunda vitu vingi kuanzia kwa zege ndefu zilizochongoka, hadi kwa “The Scream” ya Edvard Munch, hadi kwa mimea iliyonasibishwa ili kubadilika kuwa bluu iliyokolea. Hakuna hali yoyote iliyo na hakikisho la kuwa ithibati ya siku za usoni. Baadhi ya watu hao hao walioandaa jumbe za maeneo ya mabaki pia wamekuwa sehemu ya changamoto kubwa: kuwasiliana kwenye maisha ya kidhahania ya angani. Hii ndio mada ya “Lugha za Kidhahania”, kitabu kipya kilichoandikwa na Daniel Oberhaus, mwanahabari wa Wired. Hakuna kitu kinachofahamika jinsi dhahania ya angani inavyoweza kuchukua habari. Jozi la mabango ya kumbukumbu yaliyotumwa miaka ya awali ya 1970 ya Pioneer 10 na 11, ndege mbili za angani, zilionyesha wanadamu wawili wakiwa uchi pamoja na ramani mavangamavanga ya kuitafuta Dunia – mambo ya kimsingi, lakini hata hiyo inadhania kwamba viumbe hao wa masafa ya kidhahania wanaweza kuona. Kwa kuwa sanaa hiyo ina nafasi finyu sana ya kupatikana kwa, matangazo ya redio kutoka Duniani, ikisafiri kwa kasi ya mwangaza, inaweza kukutana kwa urahisi zaidi. Lakini kama ilivyo tu redio ya mawimbi inavyoweza kuwashwa kwa kutafuta masafa yaliyo sawa ya redio, kwa hivyo ni lazima iwe kama ile aina ya interstellar. Je, ni jinsi gani ajinabi hawa watakavyokumbana na yule aliye asilia? Bango la Kumbukumbu la Pioneer linatoa kidokezo cha umbo la mchoro wa atomu ya haigrojeni, mvuto wa sumaku unaopinduka kwa zamu, kwenye masafa ya 1,420MHz. Kwa kuwa haidrojeni ndiyo elementi inayopatikana kwa wingi zaidi ulimwenguni, kuna matumaini kwamba mchoro huu unaweza kuwa kama aina fulani ya nambari ya simu. | Entry #31364 — Discuss 0 — Variant: Kenyan Winner
|
Fikiria kula katika mji mkuu wa Uropa ambapo haujui lugha ya hapo. Mhudumu huzungumza Kiingereza kidogo, lakini kwa njia yote au kwa ujanja una dhibiti kuagiza kitu kwenye menyu ambayo unatambua, kula na kulipa. Sasa fikiria badala yake kwamba, baada ya safari kuwa mbaya, unaibuka, ukiwa na njaa, katika kijiji cha Amazonia. Watu huko hawajuwi la kuwaza juu yako. Unaiga sauti za kutafuna, ambazo hukosea kwa lugha yako ya zamani. Unapoinua mikono ku maanisha una jisalimisha, wanafikiria unazindua shambulio. Kuwasiliana bila muktadha wa pamoja ni ngumu. Kwa mfano, tovuti zenye mionzi lazima ziachwe bila kusumbuliwa kwa makumi ya maelfu ya miaka; Walakini, ikizingatiwa kuwa Kiingereza cha miaka 1,000 tu iliyopita sasa hakieleweki kwa wasemaji wake wengi wa kisasa, mashirika yamejitahidi kutoa maonyo ya kuandamana na taka za nyuklia. Kamati zinazohusika na kufanya hivyo zimekuja na kila kitu kutoka kwa miba kubwa za zege, hadi "Kelele" ya Edvard Munch, kwa mimea iliyobadilishwa vinasaba kugeuza bluu ya kutisha. Hakuna aliyehakikishiwa kuwa uthibitisho wa baadaye. Baadhi ya watu wale wale ambao walifanya kazi kwenye jumbe hizi za tovuti ya taka pia wamekuwa sehemu ya changamoto kubwa zaidi: kuwasiliana na maisha ya nje ya ulimwengu. Hii ndio mada ya "Lugha za Kigeni", kitabu kipya cha Daniel Oberhaus, mwandishi wa habari huko Wired. Hakuna kinachojulikana juu ya jinsi wageni wanavyoweza kuchukua habari. Bamba mbili zilizotumwa mwanzoni mwa miaka ya 1970 na Mwanzilishi 10 na 11, viombo viwili angani, vinaonyesha wanadamu uchi na ramani mbaya ya kupata vitu vya kidunia, lakini hata hiyo inasadikika wageni wanaweza kuona. Kwa kuwa ufundi kama huo hauna nafasi ndogo zaidi ya kupatikana, matangazo ya redio kutoka Duniani, yanayosafiri kwa kasi ya mwangaza, yana uwezekano wa kuwasiliana. Lakini kama vile redio ya ulimwenguni lazima iangaliwe kwa masafa sahihi, vivyo hivyo na aina ya nyota. Je! Wageni wangewezaje kumtokea yule aliye sahihi? Jalada la Mwanzilishi hutoa dokezo kwa njia ya mchoro wa kimsingi wa chembe ya haidrojeni, msingi wa sumaku ambayo hupinduka mara kwa mara, na masafa ya 1,420MHz. Kwa kuwa haidrojeni ni kitu kilicho kuwa kubwa zaidi ulimwenguni, matumaini ni kwamba mchoro huu unaweza kuwa kama nambari ya simu. | Entry #31793 — Discuss 0 — Variant: Tanzanian
|
Fikiria kula katika mji mkuu wa Uropa ambapo haujui lugha ya wemyeji. Mhudumu anazungumza Kiingereza kidogo, lakini kwa ndoano au kwa ujanja unafanikiwa kuagiza kitu kwenye menyu ambayo unatambua, kula na kulipia. Sasa fikiria badala yake kwamba, baada ya kupotea ukitembea, unaibuka, ukiwa na njaa, katika kijiji cha Amazonia. Watu huko hawana wazo la kukufanya. Unaiga sauti za kutafuna, ambazo wanakosea kwa lugha yako ya zamani. Unapoinua mikono kuashiria kujisalimisha, wanafikiria unazindua shambulio. Kuwasiliana bila muktadha wa pamoja ni ngumu. Kwa mfano, tovuti zenye mionzi lazima ziachwe bila kusumbuliwa kwa makumi ya maelfu ya miaka; Walakini, ikizingatiwa kuwa Kiingereza cha miaka 1,000 tu iliyopita sasa hakieleweki kwa wasemaji wake wengi wa kisasa, mashirika yamejitahidi kutoa maonyo ya kuandamana na taka za nyuklia. Kamati zinazohusika na kufanya hivyo zimekuja na kila kitu kutoka kwa minara mirefu ya zege yenye ncha kali, hadi mchoro wa Edvard Munch "The Scream", kwa mimea iliyobadilishwa chembe za urithi kugeuka kuwa bluu ya kutisha. Hakuna inayoonyesha idhibati kwa siku zijazo. Baadhi ya watu wale wale ambao walifanya kazi kwenye jumbe hizi za tovuti ya taka pia wamekuwa sehemu ya changamoto kubwa zaidi: kuwasiliana na maisha ya nje ya ulimwengu. Hii ndio mada ya "Extraterrestrial Languages", kitabu kipya cha Daniel Oberhaus, mwandishi wa habari huko Wired. Hakuna kinachojulikana juu ya jinsi wageni wa anga la nje wanavyoweza kuchukua habari. Bamba mbili zilizotumwa mwanzoni mwa miaka ya 1970 na Pioneer 10 na 11, chombo cha angani mbili, zinaonyesha wanadamu uchi na ramani isiyo sanifu ya kupata Dunia - vitu vya kawaida, lakini hata hiyo inadhani wageni wanaweza kuona. Kwa kuwa ufundi kama huo hauna nafasi ndogo zaidi ya kupatikana, matangazo ya redio kutoka Duniani, yanayosafiri kwa kasi ya mwangaza, yana uwezekano wa kuwasiliana. Lakini kama vile redio ya ulimwenguni lazima iangaliwe kwa masafa sahihi, vivyo hivyo na aina ya nyota. Je! Wageni wangewezaje kumtokea yule aliye sahihi? Jalada la Pioneer hutoa dokezo kwa njia ya mchoro wa kimsingi wa chembe ya haidrojeni, polarity ya sumaku ambayo hupinduka mara kwa mara, na masafa ya 1,420MHz. Kwa kuwa haidrojeni ni kitu kilicho nyingi zaidi ulimwenguni, matumaini ni kwamba mchoro huu unaweza kuwa kama nambari ya simu. | Entry #31780 — Discuss 0 — Variant: Not specified
|
Pata picha upo kwenye mgahawa mmojawapo huko Ulaya ambapo hujui lugha yao ya asili . Muhudumu anafahamu kuzungumza lugha ya kiingereza kidogo,unajitahidi kufanya kila namna ili kuweza kufanikiwa kuagiza chakula kimojawapo kati ya vilivyopo kwenye orodha ya chakula ambacho umekitambua.,unakula na kukilipia chakula hicho. picha linaloanza baada ya hapo ,baada ya kutembea kwa umbali umrefu ukawa umepotea njia, na ukagundua kuwa , una njaa, katika kijiji cha Amazoni . na wenyeji wa kijiji hicho hawajui wakuandalie nini kwa ajili yako. Unaiga sauti za kutafuna, ambazo hukosea kwa lugha yako ya zamani. Unapoinua mikono kuashiria kujisalimisha, wanafikiria unazindua shambulio. Mawasiliano yanatofautiana kutoka sehemu mja kwenda nyingine kulingana na mazingira, mfano mitambo ya redio inayorusha matangazo inapaswa kuwachwa bila kusumbuliwa kwa muda wa miaka elfu kumi, vivyo hivyo kuongea lugha ya kiingereza ya miaka kumi iliyopita kwa wakati huu inawaletea ugumu kwa wazungumzaji wa wakati huu, mashirika yamejitahidi kuunda maonyo ya kuandamana na taka za nyuklia. Kamati zinazohusika na kufanya hivyo zimekuja na kila kitu kutoka kwa spikes kubwa za zege, hadi Edvard Munch's "The Scream", kwa mimea iliyobadilishwa vinasaba kugeuza bluu ya kutisha. Hakuna aliyehakikishiwa kuwa uthibitisho wa baadaye. Baadhi ya watu wanaofanya kazi zinazohusiana na maeneo yanatumika kwa ajili ya kumwaga takataka wanapata changamoto :ya kuwasiliana katika mazingira magumu. hili somo linalotokana na "kutoelewekakwa lugha inayotumika kuwasiliana," kitabu kipya kilichoandikwa na Daniel Oberhaus, ambaye ni mwandishi wa Wired. Hakuna kinachojulikana kuhusu kwa gani namna wageni wanaweza kupata taarifa . Kuhusu vifaa viwili vilivyotumwa mwanzoni mwa miaka ya 1970 na watangulizi kati ya10 hadi 11, kuhusu vifaa viwili vya angani , vinavyoonesha wanadamu utupu wa dunia katika ramani kwa undani wake na hata jinsi kwa mwonekano ilivyojitenga. -baada ya vitu hivyo kuisha muda wake katika matumizi kutoka katika uso wa dunia na kutoonekana kabisa ,redio kutoka masafa ya mbali ,zilisafiri kwa mwendo na mwanga mkali,kwa na malengo ya kuja kukutana . kama iivyo kwa redio za masafa ya mbali zinatakiwa kuahswa kwenye frikwensi sahihi, | Entry #31775 — Discuss 0 — Variant: Not specified
|